Swali: Kuna mtu anatengeneza pafyumu na kuziita kwa majina mbalimbali ya pombe ili ziweze kuuzikana. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Pombe zinaenezwa? Haijuzu kufanya hivo. Wala asiite kitu kwa lisilokuwa jina lake. Pombe ni haramu, wala kitu halali hakitakiwi kuitwa kwa jina lake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 17/04/2021
Swali: Kuna mtu anatengeneza pafyumu na kuziita kwa majina mbalimbali ya pombe ili ziweze kuuzikana. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Pombe zinaenezwa? Haijuzu kufanya hivo. Wala asiite kitu kwa lisilokuwa jina lake. Pombe ni haramu, wala kitu halali hakitakiwi kuitwa kwa jina lake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 17/04/2021
https://firqatunnajia.com/matangazo-ya-pafyumu-zilizopewa-majina-ya-pombe/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket