Swali: Vipi tutaamiliane na ndugu ambao wanafanyia mzaha Sunnah?
Jibu: Tangamana nao kama ulivyosikia; kwa kuwanasihi na kuwakataza. Wasiponyooka jitenge nao. Kwa kuwa mwenye kufanyia mzaha Sunnah ni kafiri – na tunaomba kinga kwa Allaah. Ni kafiri. Mwenye kufanyia mzaha na maskhara Sunnah ni kama mfano wa mwenye kufanyia maskhara Qur-aan. Ni sawa sawa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14005
- Imechapishwa: 19/04/2018
Swali: Vipi tutaamiliane na ndugu ambao wanafanyia mzaha Sunnah?
Jibu: Tangamana nao kama ulivyosikia; kwa kuwanasihi na kuwakataza. Wasiponyooka jitenge nao. Kwa kuwa mwenye kufanyia mzaha Sunnah ni kafiri – na tunaomba kinga kwa Allaah. Ni kafiri. Mwenye kufanyia mzaha na maskhara Sunnah ni kama mfano wa mwenye kufanyia maskhara Qur-aan. Ni sawa sawa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14005
Imechapishwa: 19/04/2018
https://firqatunnajia.com/matangamano-na-ndugu-anayefanya-mzaha-na-sunnah/