Swali: Vipi tutaamiliane na ndugu ambao wanafanyia mzaha Sunnah?
Jibu: Tangamana nao kama ulivyosikia; kwa kuwanasihi na kuwakataza. Wasiponyooka jitenge nao. Kwa kuwa mwenye kufanyia mzaha Sunnah ni kafiri – na tunaomba kinga kwa Allaah. Ni kafiri. Mwenye kufanyia mzaha na maskhara Sunnah ni kama mfano wa mwenye kufanyia maskhara Qur-aan. Ni sawa sawa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14005
- Imechapishwa: 19/04/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)