Swali: Zimepokelewa baadhi ya riwaya kwamba mwenye kupiga chafya aseme:
الحمد لله
”Himdi zote njema anastahiki Allaah.”
na:
الحمد لله رب العالمين
”Himdi zote njema anastahiki Allaah, Mola wa walimwengu.”?
Jibu: Aseme:
الحمد لله
”Himdi zote njema anastahiki Allaah.”
au:
الحمد لله على كل حال
”Himdi zote njema anastahiki Allaah kwa hali zote.”
au aseme tu:
الحمد لله
”Himdi zote njema anastahiki Allaah.”
au:
الحمد لله حمدًا كثيرًا
”Himdi zote njema na nyingi anastahiki Allaah.”
Zote hizi ni nzuri.
Swali: Zote zimethibiti?
Jibu: Hapana, lakini aina ya himdi imewekwa katika Shari´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25207/ما-صيغة-الحمد-عند-العطاس
- Imechapishwa: 22/02/2025
Swali: Zimepokelewa baadhi ya riwaya kwamba mwenye kupiga chafya aseme:
الحمد لله
”Himdi zote njema anastahiki Allaah.”
na:
الحمد لله رب العالمين
”Himdi zote njema anastahiki Allaah, Mola wa walimwengu.”?
Jibu: Aseme:
الحمد لله
”Himdi zote njema anastahiki Allaah.”
au:
الحمد لله على كل حال
”Himdi zote njema anastahiki Allaah kwa hali zote.”
au aseme tu:
الحمد لله
”Himdi zote njema anastahiki Allaah.”
au:
الحمد لله حمدًا كثيرًا
”Himdi zote njema na nyingi anastahiki Allaah.”
Zote hizi ni nzuri.
Swali: Zote zimethibiti?
Jibu: Hapana, lakini aina ya himdi imewekwa katika Shari´ah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25207/ما-صيغة-الحمد-عند-العطاس
Imechapishwa: 22/02/2025
https://firqatunnajia.com/matamshi-mbalimbali-ya-kumtakia-rehema-anayechemua/