Swali: Ni ipi hukumu ya kugawa matabano maalum ambayo bei yake ni fulani na…
Jibu: Hakuna jengine wanachotaka isipokuwa pesa. Matabano ni moja na haigawanywi kwa njia ya kwamba kuna matabano maalum ambayo bei yake ni fulani na matabano ya kawaida ambayo bei yake ni fulani. Ni batili na hayajuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 26/02/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket