Swali: Ni ipi hukumu ya kuyasomea maji kwa ajili ya kuyaoshea gari ili kuondosha kijicho?
Jibu: Simjui msingi wowote juu ya hili. Kitendo hichi ni Bid´ah. Anayesomewa ni mgonjwa kisha anapuliziwa.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 12/05/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kuyasomea maji kwa ajili ya kuyaoshea gari ili kuondosha kijicho?
Jibu: Simjui msingi wowote juu ya hili. Kitendo hichi ni Bid´ah. Anayesomewa ni mgonjwa kisha anapuliziwa.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
Imechapishwa: 12/05/2019
https://firqatunnajia.com/matabano-kwenye-gari/