Swali: Walinganizi wengi wabaya wanatumia hoja kujuzu kwa maandamano kwa kitendo cha Maswahabah Makkah na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akalikubali hilo. Ni yapi maoni yako kwa hilo?
Jibu: Huu ni uongo[1]. Maswahabah hawakuandamana Makkah. Hawakuharibu kitu Makkah. Walikuwa wameamrishwa kuzuia mikono yao na vurugu. Walikuwa wameamrishwa kuwa na subira mpaka walipohajiri kwenda al-Madiynah. Jihaad ikawekwa kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mambo sio ya vurugu. Huyu anawasemea uongo Maswahabah kwamba waliandamana Makkah.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/radd-kwa-dalili-mbili-potevu-za-kujuzisha-maandamano/
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m14350624_01g02.mp3
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Walinganizi wengi wabaya wanatumia hoja kujuzu kwa maandamano kwa kitendo cha Maswahabah Makkah na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akalikubali hilo. Ni yapi maoni yako kwa hilo?
Jibu: Huu ni uongo[1]. Maswahabah hawakuandamana Makkah. Hawakuharibu kitu Makkah. Walikuwa wameamrishwa kuzuia mikono yao na vurugu. Walikuwa wameamrishwa kuwa na subira mpaka walipohajiri kwenda al-Madiynah. Jihaad ikawekwa kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mambo sio ya vurugu. Huyu anawasemea uongo Maswahabah kwamba waliandamana Makkah.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/radd-kwa-dalili-mbili-potevu-za-kujuzisha-maandamano/
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m14350624_01g02.mp3
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/maswahabah-hawakuandamana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)