Swali: Kuna mtu hakufunga masiku tatu meupe. Je, inatosha kwake kufunga masiku mengine yaliyobaki katika mwezi badala ya siku hizi tatu?
Jibu: Ikiwa ni miongoni mwa watu waliozowea kufunga siku tatu kila mwezi, basi masiku tatu yatamtosha badala ya masiku matatu ambayo alikuwa na mazowea kufunga.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (45) http://binothaimeen.net/content/1051
- Imechapishwa: 08/03/2019
Swali: Kuna mtu hakufunga masiku tatu meupe. Je, inatosha kwake kufunga masiku mengine yaliyobaki katika mwezi badala ya siku hizi tatu?
Jibu: Ikiwa ni miongoni mwa watu waliozowea kufunga siku tatu kila mwezi, basi masiku tatu yatamtosha badala ya masiku matatu ambayo alikuwa na mazowea kufunga.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (45) http://binothaimeen.net/content/1051
Imechapishwa: 08/03/2019
https://firqatunnajia.com/masiku-meupe-ya-katikati-yamempita-na-anataka-kufunga-masiku-mengine/