Swali: Katika mji wetu Zakaat-ul-Fitwr kunatolewa pesa kwa hoja ya kwamba masikini hawataki nafaka au kitu kingine. Tufanye nini?
Jibu: Wenye kuamua sio masikini. Hii ni ´ibaadah. Inatakiwa kutekelezwa kama ilivyopokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yule asiyetaka chakula sio muhitaji. Badala yake wape wahitaji ambao wanataka chakula.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12939
- Imechapishwa: 21/06/2017
Swali: Katika mji wetu Zakaat-ul-Fitwr kunatolewa pesa kwa hoja ya kwamba masikini hawataki nafaka au kitu kingine. Tufanye nini?
Jibu: Wenye kuamua sio masikini. Hii ni ´ibaadah. Inatakiwa kutekelezwa kama ilivyopokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yule asiyetaka chakula sio muhitaji. Badala yake wape wahitaji ambao wanataka chakula.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12939
Imechapishwa: 21/06/2017
https://firqatunnajia.com/masikini-wanataka-zakaat-ul-fitwr-pesa-badala-ya-chakula/