420 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu masikini asiyeweza kuhiji mwenyewe. Je, anaweza kuhiji kwa ajili ya mtu mwingine?
Jibu: Hapana, mpaka ahiji mwenyewe.
421 – Nikasema kwamba yeye hana uwezo.
Jibu: Hata kama.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 138
- Imechapishwa: 23/08/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
420 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu masikini asiyeweza kuhiji mwenyewe. Je, anaweza kuhiji kwa ajili ya mtu mwingine?
Jibu: Hapana, mpaka ahiji mwenyewe.
421 – Nikasema kwamba yeye hana uwezo.
Jibu: Hata kama.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 138
Imechapishwa: 23/08/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/masikini-asiyeweza-kuhiji-anaweza-kumhijia-mwengine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket