Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya mashindano kwa ajili ya kuhifadhi Qur-aan tukufu? Je, inafaa kuchukua tunuku juu ya hilo?
Jibu: Ndio. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakika kilicho na haki zaidi ya kuchukuliwa malipo ni Kitabu cha Allaah.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (98) https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18006
- Imechapishwa: 22/05/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya mashindano kwa ajili ya kuhifadhi Qur-aan tukufu? Je, inafaa kuchukua tunuku juu ya hilo?
Jibu: Ndio. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakika kilicho na haki zaidi ya kuchukuliwa malipo ni Kitabu cha Allaah.”
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (98) https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18006
Imechapishwa: 22/05/2019
https://firqatunnajia.com/mashindano-ya-qur-aan-na-kupokea-tunuku/