Swali: Nikihisi kuwa na maradhi katika nafsi yangu na udhaifu nitafute wa kunisomea Ruqyah au bora zaidi niwe na subira na kujisomea mwenyewe?
Jibu: Bora zaidi ni kujisomea mwenyewe.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%2027-3-1435.mp3
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Nikihisi kuwa na maradhi katika nafsi yangu na udhaifu nitafute wa kunisomea Ruqyah au bora zaidi niwe na subira na kujisomea mwenyewe?
Jibu: Bora zaidi ni kujisomea mwenyewe.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%2027-3-1435.mp3
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/maradhi-yakimzidi-mtu-bora-ajisomee-ruqyah-au-asomewe/