Swali: Kuna wanaodai kwamba muziki ni dawa ya baadhi ya maradhi. Je, jambo hili ni la sawa Kishari´ah?
Jibu: Muziki wenyewe ni maradhi. Maradhi hayatibiwi kwa maradhi mengine. Hayatibiwi kwa muziki. Maradhi yanatibiwa kwa kumdhukuru Allaah, kisomo cha Qur-aan na matabano yenye kukubalika katika Shari´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 12/01/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)