Swali: Ni yepi maoni yenye nguvu kuhusu kulala Muzdalifah?
Jibu: Sahihi ni kwamba ni wajibu. Sio nguzo wala Sunnah. Kuna maoni matatu juu yake:
1 – Nguzo.
2 – Wajibu.
3 – Sunnah.
Maoni ya kati na kati ndio yenye nguvu zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23984/ما-حكم-المبيت-في-مزدلفة
- Imechapishwa: 09/08/2024
Swali: Ni yepi maoni yenye nguvu kuhusu kulala Muzdalifah?
Jibu: Sahihi ni kwamba ni wajibu. Sio nguzo wala Sunnah. Kuna maoni matatu juu yake:
1 – Nguzo.
2 – Wajibu.
3 – Sunnah.
Maoni ya kati na kati ndio yenye nguvu zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23984/ما-حكم-المبيت-في-مزدلفة
Imechapishwa: 09/08/2024
https://firqatunnajia.com/maoni-sahihi-kuhusu-kulala-muzdalifah/