Swali: Inafaa kutumia manukato kwa sababu majini hayakaribii sehemu hiyo?
Jibu: Ni nani aliyesema kuwa majini hayakaribii manukato? Nani kasema hivi? Majini wako ardhini na sehemu mbalimbali kukiwemo sehemu za manukato. Kitu kinachoyafukuza majini ni kumdhukuru Allaah. Unapotaka kuyafukuza majini basi mdhukuru Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) na sio manukato.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17346
- Imechapishwa: 13/12/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)