Swali: Inafaa kutumia manukato kwa sababu majini hayakaribii sehemu hiyo?
Jibu: Ni nani aliyesema kuwa majini hayakaribii manukato? Nani kasema hivi? Majini wako ardhini na sehemu mbalimbali kukiwemo sehemu za manukato. Kitu kinachoyafukuza majini ni kumdhukuru Allaah. Unapotaka kuyafukuza majini basi mdhukuru Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) na sio manukato.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17346
- Imechapishwa: 13/12/2017
Swali: Inafaa kutumia manukato kwa sababu majini hayakaribii sehemu hiyo?
Jibu: Ni nani aliyesema kuwa majini hayakaribii manukato? Nani kasema hivi? Majini wako ardhini na sehemu mbalimbali kukiwemo sehemu za manukato. Kitu kinachoyafukuza majini ni kumdhukuru Allaah. Unapotaka kuyafukuza majini basi mdhukuru Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) na sio manukato.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17346
Imechapishwa: 13/12/2017
https://firqatunnajia.com/manukato-yanakimbiza-majini/