Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mayahudi wamegawanyika makundi sabini na moja. Manaswara wamegawanyika makundi sabini na mbili. Na Dini hii itakuja kugawanyika makundi sabini na tatu. Yote yataingia Motoni isipokuwa moja tu.” Wakasema: “Ni lipi hilo, ewe Mtume wa Allaah?” Akasema: “Ni Jamaa´ah.”
Imepokelewa hivo katika Hadiyth ya Mu´aawiyah. Ama kuhusiana na Hadiyth:
“Ni lile litakalofuata yale ambayo mimi na Maswahabah wangu waliyomo hivi leo.”
ni dhaifu kwa sababu imepokelewa kupitia kwa ´Abdur-Rahmaan bin Ziyaad bin An´am. al-Haakim, ambaye anajulikana kuwa mlaini, amesema:
”Si hoja yoyote.”
Ni lazima kwa Waislamu kuwa mkusanyiko mmoja. Ni nani aliyetupa idhini ya kuwa makundi mengi? al-Ikhwaan al-Muslimuun ni kundi limoja, Jamaa´at-ut-Tabliygh ni kundi limoja. Jamaa´at-ut-Tabliygh imekusanya kati ya Taswawwuf, Bid´ah na ujinga. Mtu akijiunga na wao baada ya ´Aswr wanamlazimisha kutoa darsa Maghrib. Masikini mtu hajui lolote juu ya Dini. Kwa ajili hiyo masikini huyu anaanza kuchanganya mambo
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 42-43
- Imechapishwa: 09/04/2015
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mayahudi wamegawanyika makundi sabini na moja. Manaswara wamegawanyika makundi sabini na mbili. Na Dini hii itakuja kugawanyika makundi sabini na tatu. Yote yataingia Motoni isipokuwa moja tu.” Wakasema: “Ni lipi hilo, ewe Mtume wa Allaah?” Akasema: “Ni Jamaa´ah.”
Imepokelewa hivo katika Hadiyth ya Mu´aawiyah. Ama kuhusiana na Hadiyth:
“Ni lile litakalofuata yale ambayo mimi na Maswahabah wangu waliyomo hivi leo.”
ni dhaifu kwa sababu imepokelewa kupitia kwa ´Abdur-Rahmaan bin Ziyaad bin An´am. al-Haakim, ambaye anajulikana kuwa mlaini, amesema:
”Si hoja yoyote.”
Ni lazima kwa Waislamu kuwa mkusanyiko mmoja. Ni nani aliyetupa idhini ya kuwa makundi mengi? al-Ikhwaan al-Muslimuun ni kundi limoja, Jamaa´at-ut-Tabliygh ni kundi limoja. Jamaa´at-ut-Tabliygh imekusanya kati ya Taswawwuf, Bid´ah na ujinga. Mtu akijiunga na wao baada ya ´Aswr wanamlazimisha kutoa darsa Maghrib. Masikini mtu hajui lolote juu ya Dini. Kwa ajili hiyo masikini huyu anaanza kuchanganya mambo
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 42-43
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/mambo-huenda-chap-chap-kwa-jamaaat-ut-tabliygh__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)