Swali: Ni mambo yepi ambayo mume aliyeoa wanawake wengi kufanya uadilifu kwayo?
Jibu: Matumizi, makazi, zamu ya usiku na mavazi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
- Imechapishwa: 12/07/2024
Swali: Ni mambo yepi ambayo mume aliyeoa wanawake wengi kufanya uadilifu kwayo?
Jibu: Matumizi, makazi, zamu ya usiku na mavazi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
Imechapishwa: 12/07/2024
https://firqatunnajia.com/mambo-ambayo-mwenye-wake-wengi-anapaswa-kufanya-uadilifu-kwayo/