Swali: Mama yangu ananiamrisha kuvua Hijaab. Kwa sababu ya kukataa kwangu hanisemeshi kwa masiku mengi na wala hataki nimzungumzishe. Nichukue msimamo gani juu yake?
Jibu: Mkinaishe kwamba Hijaab ni jambo la wajibu. Asipokinaika basi usimjali juu ya sharti yake. Usimtii katika jambo hilo:
“Si vyenginevyo isipokuwa utiifu unakuwa katika mema. Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
- Imechapishwa: 05/08/2019
Swali: Mama yangu ananiamrisha kuvua Hijaab. Kwa sababu ya kukataa kwangu hanisemeshi kwa masiku mengi na wala hataki nimzungumzishe. Nichukue msimamo gani juu yake?
Jibu: Mkinaishe kwamba Hijaab ni jambo la wajibu. Asipokinaika basi usimjali juu ya sharti yake. Usimtii katika jambo hilo:
“Si vyenginevyo isipokuwa utiifu unakuwa katika mema. Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
Imechapishwa: 05/08/2019
https://firqatunnajia.com/mama-vua-hijaab/