Swali: Je, ni haramu kwa mwanamke kukaa chemba na mume wa msichana wake?
Jibu: Mume wa msichana wake ni Mahram yake. Baadhi ya wanawake wana aibu sana. Bora ni yeye asijisitiri mbele yake na afanyie kazi ruhusa ya Allaah:
“Hakika Allaah anapenda ifanyiwe kazi ruhusa Yake.”
Hiyo inakuwa ni aibu kwa mwanamke kujizuilia na wanaume wasioweza kumuoa. Hata hivyo ikiwa kuna sababu nyenginezo kwa mfano ni mwanaume asiyeaminika na kwamba anafanya mambo kadhaa yasiyokuwa ya sawa, basi anaweza kujizuilia muda wa kuwa yuko na sababu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23922/ما-حكم-خلوة-المراة-بزوج-ابنتها
- Imechapishwa: 01/06/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)