Swali: Mamangu anakataa kuunga kizazi na anatuamrisha na sisi kufanya hivyo. Je, inajuzu kwetu kufanya hivyo?
Jibu: Mmeshasikia jibu. Haya ni maasi na usimtii mzazi wako katika maasi:
“Hakuna utiifu katika kiumbe katika kumuasi Muumba.”
“Utiifu unakuwa katika wema.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–14330811.mp3
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Mamangu anakataa kuunga kizazi na anatuamrisha na sisi kufanya hivyo. Je, inajuzu kwetu kufanya hivyo?
Jibu: Mmeshasikia jibu. Haya ni maasi na usimtii mzazi wako katika maasi:
“Hakuna utiifu katika kiumbe katika kumuasi Muumba.”
“Utiifu unakuwa katika wema.”
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–14330811.mp3
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/mama-anatuamrisha-kuwakata-ndugu-zetu/