Swali: Mamangu anakataa kuunga kizazi na anatuamrisha na sisi kufanya hivyo. Je, inajuzu kwetu kufanya hivyo?
Jibu: Mmeshasikia jibu. Haya ni maasi na usimtii mzazi wako katika maasi:
“Hakuna utiifu katika kiumbe katika kumuasi Muumba.”
“Utiifu unakuwa katika wema.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–14330811.mp3
- Imechapishwa: 06/10/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket