Swali: Kikosi cha wanawake kimekusanya pesa kwa lengo la kujenga msikiti na kumeshapita miaka miwili. Je, ni wajibu kwao kuitolea zakaah?
Jibu: Hapana, haina zakaah. Kwa sababu hii ni swadaqah ya msikiti. Haina umiliki. Hivyo sio wajibu. Hii ni kama mali ya Awqaaf. Mali ya Awqaaf haina zakaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2138
- Imechapishwa: 12/07/2020
Swali: Kikosi cha wanawake kimekusanya pesa kwa lengo la kujenga msikiti na kumeshapita miaka miwili. Je, ni wajibu kwao kuitolea zakaah?
Jibu: Hapana, haina zakaah. Kwa sababu hii ni swadaqah ya msikiti. Haina umiliki. Hivyo sio wajibu. Hii ni kama mali ya Awqaaf. Mali ya Awqaaf haina zakaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2138
Imechapishwa: 12/07/2020
https://firqatunnajia.com/mali-iliyoandaliwa-kujenga-msikiti-ina-zakaah/