Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali kwenye msikiti ulio na kaburi lakini kaburi hili haliko upande wa Qiblah? Inajuzu kuswali au swalah inakubalika pamoja na kuwa mtu anapata dhambi?
Jibu: Hapana, haijuzu kuswali kwenye msikiti ambao umejengwa kwenye kaburi ambalo limekamatana nao, sawa kaburi hilo likiwa kwa mbele, nyuma, kulia au kushoto. Maadamu kaburi limekamatana na msikiti haijuzu na haijalishi liko upande gani wa msikiti.
Lakini kaburi likiwa limetengana na msikiti kwa kuwepo barabara katikati hakuna neno. Kwa sababu kaburi limetengana na liko mbali na msikiti.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2138
- Imechapishwa: 12/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali kwenye msikiti ulio na kaburi lakini kaburi hili haliko upande wa Qiblah? Inajuzu kuswali au swalah inakubalika pamoja na kuwa mtu anapata dhambi?
Jibu: Hapana, haijuzu kuswali kwenye msikiti ambao umejengwa kwenye kaburi ambalo limekamatana nao, sawa kaburi hilo likiwa kwa mbele, nyuma, kulia au kushoto. Maadamu kaburi limekamatana na msikiti haijuzu na haijalishi liko upande gani wa msikiti.
Lakini kaburi likiwa limetengana na msikiti kwa kuwepo barabara katikati hakuna neno. Kwa sababu kaburi limetengana na liko mbali na msikiti.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2138
Imechapishwa: 12/07/2020
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kuswali-kwenye-msikiti-ulioambatana-na-kaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)