Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Malaika hawaingii kwenye nyumba ilio na picha na mbwa.”
Hawa ni Malaika wepi?
Jibu: Ni Malaika wenye rehema. Kuhusu Malaika wenye kuandika matendo na wengineo wanaingia. Malaika wenye huruma ndio ambao hawaingii.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
- Imechapishwa: 10/09/2017
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Malaika hawaingii kwenye nyumba ilio na picha na mbwa.”
Hawa ni Malaika wepi?
Jibu: Ni Malaika wenye rehema. Kuhusu Malaika wenye kuandika matendo na wengineo wanaingia. Malaika wenye huruma ndio ambao hawaingii.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
Imechapishwa: 10/09/2017
https://firqatunnajia.com/malaika-wenye-kujiepusha-na-mapicha-na-mbwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)