Swali: Allaah amesema:
مَّا يَلْفِظُ مِن قَوْلٍ إِلَّا لَدَيْهِ رَقِيبٌ عَتِيدٌ
“Hatamki yeyote neno isipokuwa anaye mchungaji aliyejitayarisha kuandika.”[1]
Hii ina maana kwamba Malaika wanaandika kila kitu?
Jibu: Ndio, wanaandika kila kitu. Lakini atawajibishwa kwa yale yenye kheri na shari. Ikiwa ni ya kheri analipwa thawabu kwayo na ikiwa ni ya shari anapata dhambi kwayo. Yasiyokuwa hayo kinaachwa.
[1] 50:18
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/audios/2775/476-من-كتاب-الامور-المنهي-عنها
- Imechapishwa: 07/11/2024
Swali: Allaah amesema:
مَّا يَلْفِظُ مِن قَوْلٍ إِلَّا لَدَيْهِ رَقِيبٌ عَتِيدٌ
“Hatamki yeyote neno isipokuwa anaye mchungaji aliyejitayarisha kuandika.”[1]
Hii ina maana kwamba Malaika wanaandika kila kitu?
Jibu: Ndio, wanaandika kila kitu. Lakini atawajibishwa kwa yale yenye kheri na shari. Ikiwa ni ya kheri analipwa thawabu kwayo na ikiwa ni ya shari anapata dhambi kwayo. Yasiyokuwa hayo kinaachwa.
[1] 50:18
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/audios/2775/476-من-كتاب-الامور-المنهي-عنها
Imechapishwa: 07/11/2024
https://firqatunnajia.com/malaika-wanaandika-kila-kitu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
