Swali 28: Je, inafaa kusema kwa kuthibitisha ya kwamba fulani katika watoto wa waislamu yuko Peponi?
Jibu: Hapana. Haifai kusema Muhammad mwana wa fulani yuko Peponi. Hata hivyo inafaa kusema kwamba watoto wa waislamu wako Peponi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 36
- Imechapishwa: 25/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 28: Je, inafaa kusema kwa kuthibitisha ya kwamba fulani katika watoto wa waislamu yuko Peponi?
Jibu: Hapana. Haifai kusema Muhammad mwana wa fulani yuko Peponi. Hata hivyo inafaa kusema kwamba watoto wa waislamu wako Peponi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 36
Imechapishwa: 25/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/malaika-wa-peponi/