Swali 291: Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu kuoanisha kati ya Hadiyth:
“Msiwatukane maiti… ”
na:
“Mmemsifia kwa uovu…”?
Jibu: Huenda makusudio ni kwamba asitukanwe na wala yasitajwe yale yaliyofichika katika matendo yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 107
- Imechapishwa: 22/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 291: Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu kuoanisha kati ya Hadiyth:
“Msiwatukane maiti… ”
na:
“Mmemsifia kwa uovu…”?
Jibu: Huenda makusudio ni kwamba asitukanwe na wala yasitajwe yale yaliyofichika katika matendo yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 107
Imechapishwa: 22/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/makatazo-ya-kuwatukana-maiti/