Swali: Vijana kadhaa katika nchi yangu ya Amerika Kusini wamejiunga na ISIS kwa hoja kwamba ukhaliyfah ni wa haki. Sasa wanawashauri vijana wengine kufanya vivyo hivyo. Unawashauri nini?
Jibu: Ni lazima mbainishe. Wabainishieni watu wa nchini mwenu. Wabainishieni na wawekeeni wazi ´Aqiydah ya kundi hili kwa wale wanaokubali nasaha. Huo ndio wajibu wenu. Msinyamaze ilihali mnao uwezo wa kuweza kubainisha na kuweka wazi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 05/07/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket