Swali: Wako ambao wanatoa makarona katika Zakaat-ul-Fitwr badala ya kutoa mchele, kwa sababu imekuwa ndio chakula cha kawaida katika baadhi ya miji. Je, inajuzu kufanya hivo?
Jibu: Nchi ambayo chakula chao cha kawaida ni makarona, watatoa chakula hicho cha kawaida. Kuhusu nchi ambayo haina makarona, haisihi kutoa chakula hicho.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
- Imechapishwa: 13/10/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket