Sisi tunamshuhudisha Allaah kwa yale aliyosema: ya kwamba kila kafiri basi ni adui wa Allaah na kwamba kila kafiri ni adui wetu. Haya ni kwa dalili ya Qur-aan:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا عَدُوِّي وَعَدُوَّكُمْ أَوْلِيَاءَ
“Enyi walioamini! Msifanye adui Wangu na adui wenu kuwa wapenzi na marafiki.” (60:01)
Ni vipi watu hawa ambao Allaah ameshuhudia kuwa ni maadui na sisi vilevile tunashuhudia kuwa ni maadui tutafurahia sikukuu zao? Ni vipi tutazieneza kati ya watoto, wake wetu na wanawake wetu? Lakini si jengine isipokuwa huku ni kufa kwa mioyo, kuyeyuka kibinafsi na kuwafuata watu kichwa mchunga ndio jambo lililofanya mambo kama haya kuyaona ni mepesi kwetu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (33) http://binothaimeen.net/content/698
- Imechapishwa: 01/05/2020
Sisi tunamshuhudisha Allaah kwa yale aliyosema: ya kwamba kila kafiri basi ni adui wa Allaah na kwamba kila kafiri ni adui wetu. Haya ni kwa dalili ya Qur-aan:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا عَدُوِّي وَعَدُوَّكُمْ أَوْلِيَاءَ
“Enyi walioamini! Msifanye adui Wangu na adui wenu kuwa wapenzi na marafiki.” (60:01)
Ni vipi watu hawa ambao Allaah ameshuhudia kuwa ni maadui na sisi vilevile tunashuhudia kuwa ni maadui tutafurahia sikukuu zao? Ni vipi tutazieneza kati ya watoto, wake wetu na wanawake wetu? Lakini si jengine isipokuwa huku ni kufa kwa mioyo, kuyeyuka kibinafsi na kuwafuata watu kichwa mchunga ndio jambo lililofanya mambo kama haya kuyaona ni mepesi kwetu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (33) http://binothaimeen.net/content/698
Imechapishwa: 01/05/2020
https://firqatunnajia.com/makafiri-wote-ni-maadui-wa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)