Swali: Je, majimaji yanayomtoka mwanamke baada ya kuoga janaba yanawajibisha kuoga tena au hapana?
Jibu: Hayawajibishi kuoga tena. Kuoga janaba hakuwajibiki isipokuwa kwa moja kati ya mambo mawili:
1- Jimaa. Haijalishi kitu hata kama mtu hakumwaga.
2- Kutokwa na manii hata kama mtu hakufanya jimaa.
Kukipatikana kutokwa na manii na kufanya jimaa hukumu yake inatambulika. Hukumu yake ni kwamba ni wajibu kuoga.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (38) http://binothaimeen.net/content/863
- Imechapishwa: 28/06/2018
Swali: Je, majimaji yanayomtoka mwanamke baada ya kuoga janaba yanawajibisha kuoga tena au hapana?
Jibu: Hayawajibishi kuoga tena. Kuoga janaba hakuwajibiki isipokuwa kwa moja kati ya mambo mawili:
1- Jimaa. Haijalishi kitu hata kama mtu hakumwaga.
2- Kutokwa na manii hata kama mtu hakufanya jimaa.
Kukipatikana kutokwa na manii na kufanya jimaa hukumu yake inatambulika. Hukumu yake ni kwamba ni wajibu kuoga.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (38) http://binothaimeen.net/content/863
Imechapishwa: 28/06/2018
https://firqatunnajia.com/majimaji-yanayomtoka-mwanamke-baada-ya-kuoga-janaba/