Nilimwambia Ahmad:
”Vipi kuhusu mfungaji ambaye maji yameingia kooni mwake wakati alipokuwa akisukutua mdomo?” Akasema: ”Hapana vibaya ikiwa hakukusudia.”
Ishaaq pia amesema vivyo hivyo.
- Muhusika: Imaam Ishaaq bin Mansuur al-Kawsaj al-Marwaziy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad bin Hanbal wa Ishaaq bin Raahuuyah (684)
- Imechapishwa: 01/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket