Nilimwambia Ahmad:
”Vipi kuhusu mfungaji ambaye maji yameingia kooni mwake wakati alipokuwa akisukutua mdomo?” Akasema: ”Hapana vibaya ikiwa hakukusudia.”
Ishaaq pia amesema vivyo hivyo.
- Muhusika: Imaam Ishaaq bin Mansuur al-Kawsaj al-Marwaziy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad bin Hanbal wa Ishaaq bin Raahuuyah (684)
- Imechapishwa: 01/03/2025
Nilimwambia Ahmad:
”Vipi kuhusu mfungaji ambaye maji yameingia kooni mwake wakati alipokuwa akisukutua mdomo?” Akasema: ”Hapana vibaya ikiwa hakukusudia.”
Ishaaq pia amesema vivyo hivyo.
Muhusika: Imaam Ishaaq bin Mansuur al-Kawsaj al-Marwaziy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad bin Hanbal wa Ishaaq bin Raahuuyah (684)
Imechapishwa: 01/03/2025
https://firqatunnajia.com/maji-yameinigia-tumboni-alipokuwa-anasukutua-mdomo/