Swali: Ikiwa wakazi wa nyumba ni watu nane ambao wote wamefunga Ramadhaan mpaka tarehe 27. Kabla ya mwezi kuisha mmoja katika wao akafa. Je, inajuzu kwa baba mwenye nyumba kumtolea Zakaat-ul-Fitwr?
Jibu: Sio wajibu kwake kumtolea Zakaat-ul-Fitwr kwa sababu amekufa kabla ya wakati uliyowajibishwa.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/368)
- Imechapishwa: 23/06/2017
Swali: Ikiwa wakazi wa nyumba ni watu nane ambao wote wamefunga Ramadhaan mpaka tarehe 27. Kabla ya mwezi kuisha mmoja katika wao akafa. Je, inajuzu kwa baba mwenye nyumba kumtolea Zakaat-ul-Fitwr?
Jibu: Sio wajibu kwake kumtolea Zakaat-ul-Fitwr kwa sababu amekufa kabla ya wakati uliyowajibishwa.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/368)
Imechapishwa: 23/06/2017
https://firqatunnajia.com/maiti-aliyekufa-ramadhaan-anatolewa-zakaat-ul-fitwr/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket