Swali 318: Je, iwapo jeneza litasogezwa mbele kuulizwe kama yuko na deni au hapana?
Jibu: Mwenye kufa hali ya kuwa na deni na hakuweza kulipa, basi Allaah atamlipia ikiwa ni mkweli.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 112
- Imechapishwa: 25/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 318: Je, iwapo jeneza litasogezwa mbele kuulizwe kama yuko na deni au hapana?
Jibu: Mwenye kufa hali ya kuwa na deni na hakuweza kulipa, basi Allaah atamlipia ikiwa ni mkweli.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 112
Imechapishwa: 25/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/maiti-aliyekufa-na-deni-hali-ya-kuwa-na-azma-ya-kulilipa/