Swali: Je, mahujaji wanalazimika kuswali swalah ya ijumaa au swalah ya Dhuhr ikizingatiwa kwamba siku inayofuata kesho ni ijumaa?
Jibu: Wanapaswa kuswali Dhuhr. Pia inasihi endapo wataswali swalah ya ijumaa pamoja na wale wanaolazimika kuhudhuria.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/201)
- Imechapishwa: 12/03/2026
Swali: Je, mahujaji wanalazimika kuswali swalah ya ijumaa au swalah ya Dhuhr ikizingatiwa kwamba siku inayofuata kesho ni ijumaa?
Jibu: Wanapaswa kuswali Dhuhr. Pia inasihi endapo wataswali swalah ya ijumaa pamoja na wale wanaolazimika kuhudhuria.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/201)
Imechapishwa: 12/03/2026
https://firqatunnajia.com/mahujaji-wanaswali-ijumaa-au-dhuhr/