Swali: Mtu ameswali swalah ya ´Ishaa Rak´ah nne siku ya Tarwiyah huko Minaa. Je, kuna jambo lolote juu yake? Je, yule aliyeswali nyuma yake kama maamuma anatakiwa kumtanabahisha kuhusu hilo?
Jibu: Hakuna jambo juu yake. Lakini lililo sahihi kwa mahujaji ni kuswali Rak´ah mbili. Na Yule anayeswali Rak´ah nne hakuna neno juu yake. Hata hivyo amekwenda kinyume na Sunnah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/199)
- Imechapishwa: 12/03/2026
Swali: Mtu ameswali swalah ya ´Ishaa Rak´ah nne siku ya Tarwiyah huko Minaa. Je, kuna jambo lolote juu yake? Je, yule aliyeswali nyuma yake kama maamuma anatakiwa kumtanabahisha kuhusu hilo?
Jibu: Hakuna jambo juu yake. Lakini lililo sahihi kwa mahujaji ni kuswali Rak´ah mbili. Na Yule anayeswali Rak´ah nne hakuna neno juu yake. Hata hivyo amekwenda kinyume na Sunnah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/199)
Imechapishwa: 12/03/2026
https://firqatunnajia.com/mahujaji-walioswali-kwa-kukamilisha-minaa/