Swali: Inafaa kuswali Maghrib baada tu ya adhaana au mtu acheleweshe dakika kumi?
Jibu: Muadhini akishaadhini basi umeingia wakati wa swalah. Mtu anaweza kuswali moja kwa moja baada ya adhaana. Kwa sababu wakati wa swalah umeshaingia.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/فتاوى-على-الهواء-13-11-1435هـ-0
- Imechapishwa: 19/06/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)