Swali 49: Nyumba na maduka ya kukodisha yanalazimika kutoa zakaah?
Jibu: Vitu hivi pia ni kama ilivyotangulia, ni kama vitu vya biashara inayotoka. Ikijiwa na mali na ikapitikiwa na mwaka na ikafikia kile kiwango cha wajibu kuitolea zakaah. Ama mizizi yake haina zakaah kama tulivyotangulia.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 120
- Imechapishwa: 28/09/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)