Swali: Kuna tuhuma zinazoenea ya kwamba Muftiy, Shaykh Swaalih al-Fawzaan na wewe mna mfumo unaotofautiana na mfumo wa Shaykh Rabiy´. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Mimi sijui kitu kutoka kwa Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah [Aalush-Shaykh] wala Shaykh Swaalih al-Fawzaan. Mimi namjua Shaykh Rabiy´ mpaka hivi leo. Ana mfumo wa Ahl-us-Sunnah. Sijui kuwa amebadilika. Kuhusu kwamba ni mkali wakati anapowaraddi baadhi ya watu inaweza kuwa inatokamana na kwamba yeye anajua kitu wasichojua hawa wengine.
- Muhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
- Tarjama: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=146340
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqu-%2020-08-1435.mp3
Swali: Kuna tuhuma zinazoenea ya kwamba Muftiy, Shaykh Swaalih al-Fawzaan na wewe mna mfumo unaotofautiana na mfumo wa Shaykh Rabiy´. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Mimi sijui kitu kutoka kwa Shaykh ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah [Aalush-Shaykh] wala Shaykh Swaalih al-Fawzaan. Mimi namjua Shaykh Rabiy´ mpaka hivi leo. Ana mfumo wa Ahl-us-Sunnah. Sijui kuwa amebadilika. Kuhusu kwamba ni mkali wakati anapowaraddi baadhi ya watu inaweza kuwa inatokamana na kwamba yeye anajua kitu wasichojua hawa wengine.
Muhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
Tarjama: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=146340
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqu-%2020-08-1435.mp3
https://firqatunnajia.com/madhehebu-ya-rabiy-al-madkhaliy-hayajabadilika/