Swali: Je, ni sahihi kwamba jiwe jeusi limetoka Peponi?
Jibu: Limepokelewa hilo katika Hadiyth nzuri ya kwamba liliteremka kutoka Peponi likiwa jeupe kama maziwa, kisha madhambi ya washirikina yakaligeuza likawa jeusi. Ameipokea at-Tirmidhiy na wengine. Hadiyth hiyo ni nzuri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30946/ما-صحة-حديث-ان-الحجر-الاسود-من-الجنة
- Imechapishwa: 14/09/2025
Swali: Je, ni sahihi kwamba jiwe jeusi limetoka Peponi?
Jibu: Limepokelewa hilo katika Hadiyth nzuri ya kwamba liliteremka kutoka Peponi likiwa jeupe kama maziwa, kisha madhambi ya washirikina yakaligeuza likawa jeusi. Ameipokea at-Tirmidhiy na wengine. Hadiyth hiyo ni nzuri.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30946/ما-صحة-حديث-ان-الحجر-الاسود-من-الجنة
Imechapishwa: 14/09/2025
https://firqatunnajia.com/madhambi-yalivyoigeuza-kabah-nyeusi/