Swali: Je, ni sahihi kwamba jiwe jeusi limetoka Peponi?
Jibu: Limepokelewa hilo katika Hadiyth nzuri ya kwamba liliteremka kutoka Peponi likiwa jeupe kama maziwa, kisha madhambi ya washirikina yakaligeuza likawa jeusi. Ameipokea at-Tirmidhiy na wengine. Hadiyth hiyo ni nzuri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30946/ما-صحة-حديث-ان-الحجر-الاسود-من-الجنة
- Imechapishwa: 14/09/2025
Swali: Je, ni sahihi kwamba jiwe jeusi limetoka Peponi?
Jibu: Limepokelewa hilo katika Hadiyth nzuri ya kwamba liliteremka kutoka Peponi likiwa jeupe kama maziwa, kisha madhambi ya washirikina yakaligeuza likawa jeusi. Ameipokea at-Tirmidhiy na wengine. Hadiyth hiyo ni nzuri.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30946/ما-صحة-حديث-ان-الحجر-الاسود-من-الجنة
Imechapishwa: 14/09/2025
https://firqatunnajia.com/madhambi-yalivyoigeuza-kabah-nyeusi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket