Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye alikuwa kafiri kisha akasilimu, naye alikuwa mfanyabiashara na akaacha madeni?
Jibu: Akisilimu, anapaswa kulipa deni alilonalo. Ni lazima. Analipa deni ikiwa wadai wake watamtaka kulilipa. Endapo watamsamehe, Allaah awalipe kheri.
Swali: Hata ikiwa madeni hayo yalikuwa katika biashara ya pombe?
Jibu: Hapana, hapana. Inahusiana na madeni yanayokubalika kwa mujibu wa Shari´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25400/حكم-من-كان-كافرا-ثم-اسلم-وعليه-ديون-للناس
- Imechapishwa: 09/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)