Swali: Katika mji wangu kuna watu wanaodai kuwa ni katika Ahl-ul-Bayt [watu wa nyumba ya Mtume (´alayhis-Salaam)]. Ni upi usahihi wa maneno yao ni vipi nitayahakikisha?
Jibu: Mimi nawajua mpaka niseme kuwa ni sahihi au sio sahihi? Sijui.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_14.mp3
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Katika mji wangu kuna watu wanaodai kuwa ni katika Ahl-ul-Bayt [watu wa nyumba ya Mtume (´alayhis-Salaam)]. Ni upi usahihi wa maneno yao ni vipi nitayahakikisha?
Jibu: Mimi nawajua mpaka niseme kuwa ni sahihi au sio sahihi? Sijui.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_14.mp3
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/madai-ya-wanaojinasibisha-na-ukoo-wa-mtume-alayhis-salaam/