Swali: Ni yapi maoni yako kwa mwenye kusema kuwa maandamano ni katika Jihaad katika njia ya Allaah?
Jibu: Ni muongo. Maoni yetu ni kwamba mwongo. Maandamano sio katika Jihaad bali ni katika uharibifu na ni katika matendo ya makafiri. Waislamu hawakuwa wanayajua wala katika historia ya Uislamu hakuna maandamano. Haya ni katika matendo ya makafiri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (58) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13521
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni yapi maoni yako kwa mwenye kusema kuwa maandamano ni katika Jihaad katika njia ya Allaah?
Jibu: Ni muongo. Maoni yetu ni kwamba mwongo. Maandamano sio katika Jihaad bali ni katika uharibifu na ni katika matendo ya makafiri. Waislamu hawakuwa wanayajua wala katika historia ya Uislamu hakuna maandamano. Haya ni katika matendo ya makafiri.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (58) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13521
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/maandamano-ni-jihaad-au-uharibifu/