Swali: Qaz´ ni kunyoa baadhi ya nywele na kuacha zengine. Mtu akipunguza baadhi ya nywele, na asinyoe, kunazingatiwa pia kuwa ni Qaz´?
Jibu: Ndio. Ni Qaz´ pia. Ni mamoja amepunguza au amenyoa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ima nyoa zote au ziache zote.”[1]
Kupunguza na kunyoa ni kitu kimoja.
[1] al-Muhallaa (7/211).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (71) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul-majd18-02-1439h-01.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2021
Swali: Qaz´ ni kunyoa baadhi ya nywele na kuacha zengine. Mtu akipunguza baadhi ya nywele, na asinyoe, kunazingatiwa pia kuwa ni Qaz´?
Jibu: Ndio. Ni Qaz´ pia. Ni mamoja amepunguza au amenyoa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ima nyoa zote au ziache zote.”[1]
Kupunguza na kunyoa ni kitu kimoja.
[1] al-Muhallaa (7/211).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (71) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul-majd18-02-1439h-01.mp3
Imechapishwa: 13/02/2021
https://firqatunnajia.com/maana-ya-qaz/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)