Swali: Wanachuoni (Rahimahumu Allaah) wanasema kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuona Mola wake kwa moyo wake. Nini wanachokusudia?
Jibu: Hapa ni pale alipopandishwa mbinguni. Wakati (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipopandishwa mbinguni na akavuka mbingu ya saba mpaka mkunazi wa mwisho, wapo wanachuoni waliosema kuwa alimuona Mola wake kwa macho yake. Wengine wakasema kuwa alimuona kwa moyo wake na si kwa macho yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
- Imechapishwa: 04/09/2020
Swali: Wanachuoni (Rahimahumu Allaah) wanasema kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuona Mola wake kwa moyo wake. Nini wanachokusudia?
Jibu: Hapa ni pale alipopandishwa mbinguni. Wakati (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipopandishwa mbinguni na akavuka mbingu ya saba mpaka mkunazi wa mwisho, wapo wanachuoni waliosema kuwa alimuona Mola wake kwa macho yake. Wengine wakasema kuwa alimuona kwa moyo wake na si kwa macho yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
Imechapishwa: 04/09/2020
https://firqatunnajia.com/maana-ya-kumuona-kwa-moyo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)