Swali: Je, inasemwa kwamba Allaah yuko (في) mbinguni au juu ya mbingu?
Jibu: Alipoulizwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Allaah yuko wapi?” Akajibu: “Yuko mbinguni.”
Kwa maana yuko juu ya mbingu baada ya kuulizwa na mjakazi. Neno mbingu hapa linamaanisha juu. Kama Allaah alivyosema (Ta´ala):
أَأَمِنتُم مَّن فِي السَّمَاءِ
“Je, mnadhani mko katika amani na aliyeko juu mbinguni?”[1]
Kwa maana Aliye juu. Kwa sababu neno “mbingu” (السماء) hutumika kwa maana mbili:
1 – Hutumika kumaanisha mbingu iliyojengwa.
2 – Pia hutumika kumaanisha ujuu.
[1] 67:16
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31658/هل-يقال-الله-في-السماء-او-فوق-السماء
- Imechapishwa: 14/11/2025
Swali: Je, inasemwa kwamba Allaah yuko (في) mbinguni au juu ya mbingu?
Jibu: Alipoulizwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Allaah yuko wapi?” Akajibu: “Yuko mbinguni.”
Kwa maana yuko juu ya mbingu baada ya kuulizwa na mjakazi. Neno mbingu hapa linamaanisha juu. Kama Allaah alivyosema (Ta´ala):
أَأَمِنتُم مَّن فِي السَّمَاءِ
“Je, mnadhani mko katika amani na aliyeko juu mbinguni?”[1]
Kwa maana Aliye juu. Kwa sababu neno “mbingu” (السماء) hutumika kwa maana mbili:
1 – Hutumika kumaanisha mbingu iliyojengwa.
2 – Pia hutumika kumaanisha ujuu.
[1] 67:16
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31658/هل-يقال-الله-في-السماء-او-فوق-السماء
Imechapishwa: 14/11/2025
https://firqatunnajia.com/maana-mbili-za-neno-mbingu-%d8%a7%d9%84%d8%b3%d9%85%d8%a7%d8%a1-katika-aayah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
