Kauli hii, nayo ni ile inayosema kuwa Hadiyth-ul-Qudsiy matamshi yake yanatokana na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na maana ndio yenye kutoka kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa), inaafikiana na kauli ya Ashaa´irah, Maaturiydiyyah na mfano wa watu hawa, ya kwamba maneno ya Allaah (Jalla wa ´Alaa) ni yenye kusimama katika nafsi Yake, bi maana huweka kwenye roho ya Jibriyl au Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) maana na Jibriyl au Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anaeleza kwa yale anayoyaona.
- Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 360
- Imechapishwa: 14/05/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)