Swali 283: Vipi kuhusu mwenye kurefusha swalah kitendo ambacho maamuma wakamchukia kwa sababu hiyo?
Jibu: Ikiwa anavuka kile kiwango kilichowekwa katika Shari´ah, ndio. Lakini wakiwa wavivu, hapana. Kwa sababu wanadhani kuwa anarefusha ilihali mambo siyo hivo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 102
- Imechapishwa: 17/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 283: Vipi kuhusu mwenye kurefusha swalah kitendo ambacho maamuma wakamchukia kwa sababu hiyo?
Jibu: Ikiwa anavuka kile kiwango kilichowekwa katika Shari´ah, ndio. Lakini wakiwa wavivu, hapana. Kwa sababu wanadhani kuwa anarefusha ilihali mambo siyo hivo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 102
Imechapishwa: 17/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/maamuma-wanamchukia-imamu-anayerefusha-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
