Swali 664: Ni nini kinachoondoa wajibu katika kuanzisha salamu kutokana na maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Ukikutana naye basi mtolee salamu.”?
Jibu: Sijui. Maoni yanayosema kwamba ni wajibu haiko mbali, kwa sababu amri ziko wazi[1].
[1] Ibn ´Abd-ul-Barr amepokea maafikiano kwamba kuanzisha salamu kwa salamu ni Sunnah. Kwa hiyo mtu atazame kama maafikiano hayo yamesihi au hapana. Kundi la wanazuoni wamepokea maelezo ya Ibn ´Abd-ul-Barr kuhusu maafikiano hayo na hawakuyapinga. Miongoni mwao ni:
1 – an-Nawawiy katika ”Sharh Muslim” (14/104).
2 – Haafidhw katika ”al-Fath” (11/4).
3 – al-Munaawiy katika ”Faydhw-ul-Qadiyr” (1/305).
4 – ash-Shawkaaniy katika ”Nayl-ul-Awtwaar” (4/44).
5 – al-Mubaarakfuuriy katika ”Tuhfat-ul-Ahwadhiy” (7/390).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 241
- Imechapishwa: 26/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket