Lini wanatakiwa kusimama waswaliji?

Swali: Wanazuoni wanasema ni Sunnah kusimama wakati wa “Qad..” wakati wa Iqaamah. Je, hili lina dalili?

Jibu: Sijui dalili yoyote kuhusu hilo. Ni mamoja maamuma wamesimama mwanzoni, katikati au mwishoni mwa Iqaamah.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27328/متى-يقوم-المامومون-عند-اقامة-الصلاة
  • Imechapishwa: 23/03/2025