Swali: Wanazuoni wanasema ni Sunnah kusimama wakati wa “Qad..” wakati wa Iqaamah. Je, hili lina dalili?
Jibu: Sijui dalili yoyote kuhusu hilo. Ni mamoja maamuma wamesimama mwanzoni, katikati au mwishoni mwa Iqaamah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27328/متى-يقوم-المامومون-عند-اقامة-الصلاة
- Imechapishwa: 23/03/2025
Swali: Wanazuoni wanasema ni Sunnah kusimama wakati wa “Qad..” wakati wa Iqaamah. Je, hili lina dalili?
Jibu: Sijui dalili yoyote kuhusu hilo. Ni mamoja maamuma wamesimama mwanzoni, katikati au mwishoni mwa Iqaamah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27328/متى-يقوم-المامومون-عند-اقامة-الصلاة
Imechapishwa: 23/03/2025
https://firqatunnajia.com/lini-wanatakiwa-kusimama-waswaliji/