Swali: Ni lini tunatakiwa kusimama kwa ajili ya swalah? Je, ni pale muadhini anapoanza kukimu au wakati anaposema:
قد قامت الصلاة
“Swalah imesimama”?
Jibu: Yote mawili. Muhimu ni wewe usimame kwa ajili ya swalah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Ni lini tunatakiwa kusimama kwa ajili ya swalah? Je, ni pale muadhini anapoanza kukimu au wakati anaposema:
قد قامت الصلاة
“Swalah imesimama”?
Jibu: Yote mawili. Muhimu ni wewe usimame kwa ajili ya swalah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/lini-wanasimama-wenye-kuswali/