Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Laana ya Allaah iwe juu ya yule ambaye anamlinda mzushi.”[1]
Je, inahusu mwenye kuwanyamazia na kuwatetea watu wa Bid´ah?
Jibu: Bila ya shaka. Mzushi ni yule mwenye kuzua katika dini ya Allaah mambo yasiyokuwemo. Kadhalika inahusu mtu mwenye kuzua katika mambo ya amani na kuyatikisa.
[1] Muslim (1978).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%203-11-%201436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Laana ya Allaah iwe juu ya yule ambaye anamlinda mzushi.”[1]
Je, inahusu mwenye kuwanyamazia na kuwatetea watu wa Bid´ah?
Jibu: Bila ya shaka. Mzushi ni yule mwenye kuzua katika dini ya Allaah mambo yasiyokuwemo. Kadhalika inahusu mtu mwenye kuzua katika mambo ya amani na kuyatikisa.
[1] Muslim (1978).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%203-11-%201436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/laana-ya-allaah-iko-juu-ya-watetezi-wa-ahl-ul-bidah-na-magaidi/